5D Utenzi Haki za Watoto
TZS9,500.00
In stock
SKU
SLSP6223
5D Utenzi Haki za Watoto is available to buy in increments of 1
Check Aramex Shipping Rate
xAuthor: Yusuf Abbas
- Kitabu hiki kimeandikwa kwa mtindo wa kishairi ili kujenga ustadi wa msomaji.
- Utenzi wa Haki za Watoto unaiarifu jamii kikamirifu kuhusu haki za watoto kwa ujumla.
- Lugha nyepesi na yenye mnato imetumika ili kumwezesha msomaji kuyaelewa yaliyomo kwa urahisi.
- Kando na kupanua fikira na mtazamo wa jamii kuhusu haki za watoto,
- kitabu hiki kinasheheni mashairi yenye mdundo wa kasi ya wastani yanayoweza kukaririkaau kughanika kwa urahisi.
3rd Party Product | Yes |
---|---|
Weight (kg) | 0.500000 |
Ships within Tanzania only | No |
Write Your Own Review
Related Products
Check items to add to the cart or