Logo
Cart
Sign In
HomeKiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa La 6

Kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Darasa La 6

Sku: SLSP6054
Be the first to review this product
In stock
TZS13,000.00
  • ISBN:97899870904950
  • Number of pages: 186 pages
  • Product format: Paperback  
  • Publisher: Taasisi ya Elimu Tanzania
  • Year published: 2019
  1. Detail
  2. More Information
  3. Reviews

Description

  • Kitabu hiki ni cha nne katika mfululizo wa vitabu vya Kiswahili kilichoandaliwa mahususi kwa ajili ya mwanafunzi wa Darasa la sita.
  • Kitabu kinalenga kukuza uwezo wako wa kuzungumza, kusikiliza, kusoma na kuandika kwa lugha ya Kiswahili.
  • Pia, kitabu kimelenga kukuwezesha kutumia msamiati wa lugha ya Kiswahili kwa namna mbalimbali, hivyo, kukujengea uwezo wa kupanga mawazo kwa mpangilio na mtiririko unaotakiwa.
  • Kitabu kina hadithi, habari, mashairi, ngonjera, igizo, mdahalo na majigambo.
  • Vyote hivyo vitakuwezesha kujifunza kwa ufasaha. Kitabu kimesheheni maswali ya kupima ufahamu na mazoezi mbalimbali yanayojenga ujuzi wako katika somo la Kiswahili.

Related Products

Splash Screen
notification icon
Subscribe to our notifications for the latest news and updates. You can disable anytime.